Thursday, 19 April 2012

MECHI ZA 19 APRIL 2012 - UEFA LIGI YA EUROPA

22:05 Atletico Madrid 4-2 Valencia
22:05 Sporting Lisbon 2-1 Athletic Bilbao

NB: Saa za Afrika Mashariki

Ingekuwa ndio mechi ya mwisho, fainali ingekuwa kati ya Spain na Portugal!  Lakini sababu marudiano ni lazima, Sporing Lisbon wanahitaji kushinda mechi ya marudiano.

Marudiano ni Alhamisi ijayo , 26 April 2012

  
----------------------------------------------------------------------------------------------
Ni nusu fainali mzunguko wa kwanza kutafuta timu mbili zitakazo cheza fainali ya kombe la Europa.
Timu za Spain zimetawala michezo ya UEFA msimu huu, ambapo kwenye Ligi  ya Europa kuna A Madrid, Valencia na A Bilbao, na kwenye Ligi ya Mabingwa kuna Barcelona na Real Madrid. Lakini cha muhimu ni kama timu hizo zitatoka na vikombe.

No comments:

Post a Comment