Tuesday, 3 April 2012

MECHI ZA 03 APRIL 2012 - UEFA LIGI YA MABINGWA

21:45 Barcelona 3-1 AC Millan
21:45 Bayern Munich 2-0 Marseille

NB: Saa za Afrika Mashariki

Barcelona  washukuru mtambo wao wa magoli (Messi  dk ya 11 na 41) yote kwa penalty. Katika kipindi cha pili dk ya 8 Iniesta apachika bao la 3 na kumaliza matumaini ya AC Millan.  

Barcelona wameingia nusu finali itakayochezwa  17 April 2012 na mshindi wa mechi ya kesho kati ya Chelsea v Benfica.

Bayern itacheza nusu finali 17 April 2012, inasubiri mshindi wa mechi ya kesho kati ya Real Madrid v Apoel Nicosia.


-------------------------------------------------------------------------------------------------
Ni mechi za marudiano, ambapo kwenye mechi za awali Barcelona na AC Millan zilitoka 0-0, nayo B'Munich iliitandika Marseille 2-0.

Lazima apatikane mshindi, timu zipi mbili zitakubali kufungasha virago?Je tutashuhudia Barcelona ikitolewa msimu huu?

Mechi za kesho: UEFA ligi ya Mabingwa - Chelsea v Benfica, Real Madrid v Apoel Nicosia
                            (kwa matokeo haya fuatilia hao juu - mechi za 04 April 2012)      

No comments:

Post a Comment