Sunday, 29 January 2012

MECHI ZA 29 JAN 2012 - AFRICA CUP OF NATIONS

Kundi A
21:00 Equatorial Guinea 0-1 Zambia
21:00 Libya 2-1 Senegal

NB: Saa za Afrika Mashariki

-Zambia wametumia ugali vizuri kuhakikisha wameingia robo final kwa kuwanyuka wenyeji Eq.Guinea na kuleta matumaini kwa nchi za kusini mwa Afrika, Well done the Chipolopolo's!

-Libya wamejitahidi kushindi dhidi ya Senegal ingawa ushindi huo haukuwa na manufaa zaidi ya kujiwekea heshima. 

Msimamo wa kundi ulivyo (point kwenye mabano): 1.Zambia (7),2.Eq Guinea (6), , Libya (4), Senegal (0).

-Zambia na Equatorial Gunea wameingia robo final,mechi zitakuwa tarehe 4 Feb,dhidi ya washindi (2nd & 1st) wa Kundi B. 

-Libya na Senegal wamefunga virago wakaangalie mechi wakiwa nyumbani kama wenzao Taifa Stars, ahhhh ahhh!

No comments:

Post a Comment