Sunday, 29 January 2012

MECHI ZA 29 JAN 2012 - KOMBE LA FA UINGEREZA

19:00 Arsenal 3-2 Aston villa
16:30 Sunderland 1-1 Middlesbrough

NB Saa za Afrika Mashariki

-Arsenal wangepewea nini tena, gunia la chawa! Uwanja wa nyumbani ilikuwa kama ni ushindi. Hatimaye kizunguzungu chao akijawasumbua leo. Hongera kwa washabiki wa the Guners

-Bila kusahau poleni washabiki wa Man Utd aka Mashetwaaani Wekundu. Hongera  washabiki wa Liverpool aka Bwawa la Maini!

No comments:

Post a Comment