Saturday, 21 January 2012

MECHI ZA 21 JAN 2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

15:45 Norwich 0-0 Chelsea
18:00 Everton 1-1 Blackburn
18:00 Fulham 5-2 Newcastle
18:00 QPR 3-1 Wigan
18:00 Stoke 1-2 West  Brom
18:00 Sunderland 2-0 Swansea
18:00 Wolves 2-3 Aston Villa
20:30 Bolton 3-1 Liverpool

NB: Saa za Afrika Mashariki

-Wachezaji wengi wa ligi hii wamerudi Afrika kushiriki Kombe la Mataifa ya Afrika, umuhimu wa wachezaji hao katika ligi hii umeonekana rasmi leo.

-Liverpool na Newcastle wamepoteza nafasi nzuri ya kupanda nafasi ya tano na ya sita!. Matokeo hayo yameisaidia Arsenal kubaki nafasi ya tano.

-Bolton imevuna ushindi mnono dhidi ya Liverpool (aka bwawa la maini) na kujikwamua kutoka mkiani hadi nafasi ya 17! Pole ziwaendee bwawa la maini.

-Chelsea inazidi kusuasua, imeshindwa kupunguza tofauti ya point dhidi ya Tottenham kwa kuambulia sare. Zawadi kwa Arsenal !

-QPR imefanya kazi ya ziada kuvuna point tatu muhimu, mzigo umeelekezwa  Wigani na kushika mkia kwenye msimamo wa ligi!

KESHO-kwa saa za Afrika Mashariki-  Man city v Tottenham (15:30), Arsenal v Man Utd (19:00). 

No comments:

Post a Comment