21:30 Equatorial Guinea 1-0 Libya
00:00 Senagal 1-2 Zambia
NB: Saa za Afrika Mashariki
-Leo Macho na masikio ya wapenda kabumbu duniani yanaelekezwa kwenye Kombe la Mataifa ya Afrika. Mechi za fungua dimba zinaanza na Kundi A, nani ataibuka mbabe ama mshika mkia?
-Libya bado wana uchovu wa vita, wamepoteza mechi ya leo.
-Wana Chipolopolo (Zambia) waibuka kidedea
No comments:
Post a Comment