Sunday, 22 January 2012

MECHI ZA 22 JAN 2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

16:30 Man City 3-2 Tottenham
19:00 Arsenal 1-2 Man Utd

NB: Saa za Afrika Mashariki


-Timu za Mji wa Manchester zimedhihirisha ubabe wa kusakata kabumbu dhidi ya timu za London!

-Man City wanaendelea kuongoza ligi, baada ya ushindi wa leo.

-Tottenham inaendelea kusuasua kwa kukosa point tatu muhimu. Matokeo ya leo ni kama zawadi kwa Chelsea na Arsenal!

-Arsenal imeshindwa kulipa kisasi leo na kupoteza mechi nyingine dhidi ya Man Utd. Juhudi za kucheza Champions League msimu ujao bado ni tete!

-Man Utd imeendelea na juhudi za kuifukuzia Man City kutafuta ubingwa wa msimu huu.

-Top five ilivyokuwa kabla ya mechi za leo (point kwenye mabano):- 1.Man City (51), 2.Man Utd (48), 3.Tottenham(46), 4.Chelsea (41), 5.Arsenal (36)

-Top five baada ya mechi za leo (point kwenye mabano):- 1. Man City (54) 2.Man Utd (51) 3.Tottenham (46) 4.Chelsea (41) Arsenal (36)

Mechi ya tarehe 25 Jan, Jumatano (Kombe la Carling , 22:45 ) : Liverpool v Man City

No comments:

Post a Comment