Saturday, 2 February 2013

MECHI ZA 02 FEB 2012 -KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA (CAF 2013) - robo fainali

18:00 Ghana  2 - 0  Cape Verde
21:30 South Africa  2 - 4  Mali

NB: Saa za Afrika Mashariki

Mali yaingi robo fainali baada ya ushindi wa penalty 3 dhidi ya 1. Dakika 120 zilimalizika kwa sare ya 1-1.

Ghana kucheza robo fainali, Cape Verde teke home!

------------------------------------------------------------------------------------------------------
Formula = kushinda ili kucheza nusu fainali ama kushindwa na kufungasha virago!

Wenyeji wa mashindano haya, Afrika Kusini watafurukuta dhidi ya Mali? Ghana nao watatokaje? Si ajabu kuona Cape Verde wameingia nusu fainali na Mali kuishangaza Afrika Kusini. 

Kesho: Ivory Coast v Nigeria, Burkina Faso v Togo

Kwa mechi za ligi kuu ya Uingereza, angalia habari iliyotangulia hapo chini..

No comments:

Post a Comment