Wanawake hao wanapinga kitendo cha wiki iliyopita, ambapo askari nchini humo walimshika shika matiti mwanasaisa wa kike (Ingrid ) wa chama cha FDC (Forum for Democratic Change) wakati wakimtaka ashuke toka kwenye gari lake ili wamtie nguvuni.
Angalia shikashika ya kiaina ilivyokuwa.......
No comments:
Post a Comment