Tuesday, 17 April 2012

MECHI ZA 17 APRIL 2012 - UEFA LIGI YA MABINGWA

21:45 Bayern Munich 2-1 Real Madrid

NB: Saa za Afrika Mashariki

Bayern wametoa kichapo hivyo Real Madrid wanacho jivunia ni bao la ugenini. Mechi ya marudiano Jumatano ijayo 25 April 2012

Kwa upande wa Ligi kuu ya Uingereza: Reading ni timu mpya itakayo cheza kwenye ligi kuu msimu ujao.

------------------------------------------------------------------------------------------------
Ni nusu fainali, ngwe ya kwanza kutafuta mshindi atakaye pambana na mshindi kati ya Chelsea na Barcelona.

No comments:

Post a Comment