Sunday, 15 April 2012

MECHI ZA 15 APRIL 2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

18:00 Man Utd 4-0 Aston Villa

NB: Saa za Afrika Mashariki

Ahhhh! Man Utd yajibu mapigo kwa Man City!

Man City jana ilishinda 6-1 dhidi ya Norwich, Man Utd nayo imetoa ujumbe kwa Man City kwamba ubingwa msimu huu kazi ipo.

Matokea haya yamerudisha tofauti ya point 5 kati ya Man Utd (82)  na Man City (77).

----------------------------------------------------------------------------------------------------
Man Utd inaogoza ligi ikiwa na point 79, point 2 zaidi ya Man City. Kazi ipo kuongeza tofauti ya point ama kupoteza mechi na kuwa mwanzo wa kuipisha Man City kileleni!

Kesho: Arsenal v Wigan

No comments:

Post a Comment