14:45 Norwich 1-6 Man City
17:00 Sunderland 0-0 Wolves
17:00 Swansea 3-0 Blackburn
17:00 West Bromwich 1-0 QPR
NB: Saa za Afrika Mashariki
Man City wafanya karamu ya magoli na kupunguza kasi ya Man Utd, tofauti ya point imebakia 2 ingawa Man Utd anayo mechi ya ziada kibindoni. Kazi kwa Man Utd kesho kusuka ama kunyoa!
-----------------------------------------------------------------------------------------------
5 Games to go!
Man City ina point 74 kwenye nafasi ya 2, nyuma ya M'Utd kwa point 5 na mbele ya Arsenal kwa point 10.
Wolves (22) , Blackburn (28) zitafukuta vipi kutoka mkiani?
Kesho: Man Utd v Aston Villa,
Kwa mechi za FA angalia hapo juu
No comments:
Post a Comment