Friday, 6 April 2012

MECHI ZA 06 APRIL 2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

18:30 Swansea 0-2 Newcastle

NB Saa za Afrika Mashariki

Newcastle imefikisha point 56 na kupanda nafasi moja juu hadi nafasi ya 5, na kuwatereremsha Chelsea hadi nafasi ya 6.

Kwa matokeo haya, timu za Arsenal na Tottenham zipo hatarini kunyang'nywa nafasi ya kucheza Ligi ya Machampioni  kama timu hizo zitashindwa kujizatiti kwa kupata ushindi katika mechi zao zilizobaki.


No comments:

Post a Comment