Sunday, 18 March 2012

MECHI ZA 18 MARCH 2012 - LIGI KUU YA UINGEREZA

16:30 Wolves 0-5 Manchester Utd
19:00 Newcastle 1-0 Norwich

NB: Saa za Afrika Mashariki

Man Utd yapaa, baada ya sherehe ya magoli, yafikisha point 70

Newcastle  yafikisha point 47 na kuikaribia Chelsea yenye point 49.

---------------------------------------------------------------------------------------------------------
Man Utd ipo kileleni kwa point 67, inayo nafasi ya kuicha Man City kwa point 4 kama watachukua point 3. Wolves iliyopo nafasi ya 19 na point 22, inahitaji ushindi kubanduka kwenye hatari  ya kushika daraja.

Newcastle inazo point 44 kwenye nafasi ya 6, inahitaji ushindi kabla nafasi hiyo aijachukuliwa na Liverpool yenye point 42. Liverpool itacheza Jumatano dhidi ya QPR.

Mechi ya Jumanne: Blackburn v Sunderland

Kwa mechi za 18 March - kombe la FA angalia habari iliyotangulia

No comments:

Post a Comment