Sunday, 19 February 2012

MICHI ZA 19 FEB 2012 - KOMBE LA FA UINGEREZA

15:00 Crawley 0-2 Stoke
17:00 Stevenage 0-0 Tottenham
19:30 Liverpool 6-1 Brighton

NB:Saa za Afrika Mashariki

Baada ya Arsenal kutolewa kwenye mashindano ya kombe la FA jumamosi, hatimaye Tottenham wanachungulia mwelekeo huo baada ya kutoka bila mshindi, na kusubiri mechi ya marudiano.

Bwawa la maini wamefanya karamu ya magoli bila huruma!

No comments:

Post a Comment