15:30 Chelsea 1-1 Birmingham
18:00 Everton 2-0 Blackpool
18:00 Millwall 0-2 Bolton
18:00 Norwich 1-2 Liecester
20:15 Sunderland 2-0 Arsenal
NB: Saa za Afrika Mashariki
Kweli siku ya kifo cha Nyani..............!
Arsenal wametolewa kwenye kombe la FA, ikiwa ni kipigo kingine katika wiki hii, kufuatia kipigo walichopata Jumatano baada ya kupoteza 4-0 dhidi ya AC Milan, kwenye Ligi ya Mabingwa wa Europe! Matumaini ya kupata vikombe yanaendelea kuyeyuka!
No comments:
Post a Comment