20:00 Zenit St Petersburb 3-2 Benfica
22:45 AC Milan 4-0 Arsenal
NB: Saa za Afrika Mashariki
Arsenal sio kwamba wamefungwa kwa bahati mbaya, bali hata uwezo wa kuchungulia lango la AC Milan awakuwa nao!
Na safu ya ulinzi aikuweza kuzuia miamba aka mijitu yenye misuli ya AC Milan wakati ikishuka kuelekea golini!
Safari ya Arsenal imeishia kwenye last 16 kama sio kusubiri mechi ya marudiano kutimiza wajibu! Uenda pia safari ya Arsenal kwenye kombe la FA itakuwa tete wanapo kutana na Sunderland jumamosi
Kesho: UEFA Europa Lague: Ajax v Man Utd, FC Porto v Man City ..........
No comments:
Post a Comment