Robo Final:
19:00 Zambia 3-0 Sudan
22:00 Ivory Coast 3-0 Equatorial Guinea
NB: Saa za Afrika Mashariki
Wana Chipolopolo (Zambia) wameingia nusu final, Sudan wameshindwa kufurukuta. Taifa Stars waendelee kukudoa macho kwenye luninga kama kawaida yao, watabakia kunawa!
Ivory coast wameingia nusu final kwa wabamiza wenyeji bila huruma,na kuwageuza kuwa watazamaji!
Nusu final tarehe 8 February .
Mechi za kesho robo final, 5 Feb: Gabon v Mali, Ghana v Tunisia
No comments:
Post a Comment