
Alitoa maelezo hayo kwa Waandishi wa Habari za Ukimwi -AJAAT (Association of Journalists Against Aids in Tanzania), waliofika eneo hilo kufanya utafiti kuhusu utekelezaji wa Sheria ya Ukimwi.
Anadai ameangaika sehemu tofauti, hadi Hospitali ya Muhimbili bila mafanikio, hivyo anawaomba Watanzania, pia Mh. Rais Jakaya Kikwete, kumwezesha kuondokana na hali hiyo.
Hata hivyo mtaalamu wa magonjwa, Dk Dina Komakoma amedai kwamba madhara hayo ni mojawapo ya matokeo ya matumizi ya dawa hizo, madhara mengine ni kunenepa, kukonda nk
Twanga link kujua zaidi http://bashir-nkoromo.blogspot.co.uk/
No comments:
Post a Comment