Wednesday, 1 February 2012

MECHI ZA 01 FEB 2012 - AFRICA CUP OF NATIONS

Kundi D
21:00 Botswana 1-2 Mali
21:00 Ghana 1-1 Guinea

NB: Saa za Afrika Mashariki

Guinea imeshindwa kufurukuta dhidi ya Ghana na msumari wa mwisho ni matokeo ya mechi ya Botswana v Mali.

Ghana na Mali zimeingia robo final. Botswana na Guinea 'adioooos amigo' ! 

Msimamo baada ya mechi: Ghana (7), Mali (6), Guinea (4), Botswana (0)

Mechi za robo final: 
4 Feb: Zambia v Sudan, Ivory Coast v Equatorial Guinea

5 Feb:  Ghana v Tunisia , Gabon v Mali

No comments:

Post a Comment