Swali: Tunaposema sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania ni sahihi?
NB: Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Zanzibar wanayo siku ya kusherehekea uhuru wao , pai tunayo siku ya kusherehekea Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Tanganyika ipo wapi! Inabidi kurekebisha upotoshaji wa ujumbe wa sherehe hizi
No comments:
Post a Comment