Sunday, 3 February 2013

MECHI ZA 03 FEB 2013 - KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA (CAF 2013) , robo fainali

18:00 Ivory Coast 1 - 2 Nigeria
21:30 Burkina Faso 1 - 0 Togo

NB: Saa za Afrika ya Mashariki

Nigeria  na Burkina Faso zaingia nusu fainali. 

Baada ya dk 90 kumalizika 0-0, Bukina Faso ilifanikiwa kupata bao dk ya 105 na kuipa Togo tiketi ya kwenda nyumbani. 

Nusu fainali kuchezwa tarehe 06 Feb: Nigeria v Mali, Ghana v Burkina Faso

No comments:

Post a Comment