22:45 Arsenal 5 - 1 West Ham Utd
NB: Saa za Afrika Mashariki
Kipindi cha kwanza West Ham ilipata bao dk 18, baada ya dk 4 Podolski akaipatia Arsenal bao la kusawazisha.
Kipindi cha pili Arsenal ilifanya karamu ya magoli, ndani ya dk mbili Giroud akafunga bao la pili, na baada ya dk 6 Cazolla akaongeza bao la tatu, baada dk moja Walcott akaongeza bao la nne, alafu baada ya dk tatu Giroud akatungua bao la tano aka sherehe ikaisha!!!!
-----------------------------------------------------------------------------------------------------
Arsenal ipo nafasi ya 6 ikiwa na point 34. Point tatu zitaisaidia Arsenal kujiimarisha kwenye nafasi ya 6 na kusubiri mechi zijazo.
West Ham ipo nafasi ya 12 ikiwa na point 27. Ushindi ni muhimu kwani point tatu ni zitaisogeza mpaka nafasi ya 10.
No comments:
Post a Comment