Suluhisho ni kufanya kilimo kuwa sexy, na kuwavutia watu kushiriki kwenye kilimo.
Su Kihumbu ni mkulima na mfanya biashara aliyeanzisha iCow (www.icow.co.ke) nchini Kenya, amegundua kwamba kwa kutumia njia za mawasiliano, watu haswa vijana wanaweza kuvutiwa kushiriki kwenye shughuli za kilimo......
No comments:
Post a Comment