Friday 22 June 2012

MECHI ZA 22 JUNE 2012 - UEFA EURO 2012

21:45 Germany 4-2 Greece

NB: Saa za Afrika Mashariki

Germany wameingia nusu fainali.

Uenda mshindi wa kombe hili amejulikana! Germany sasa inasubiri mshindi wa mechi kati ya Engand na Italy. 


----------------------------------------------------------------------------------------------------------
Germany wanayo nafasi kubwa ya ushindi, lakini Greece wanaweza kufanya maajabu pia.

Kesho jumamosi: Spain v France

No comments:

Post a Comment