22:00 Blackburn 2-3 Liverpool
NB: Saa za Afrika Mashariki
Liverpool waponea chupuchupu kupata kipigo, wafikisha point 46 ingawa bado wamebakia
kwenye nafasi ya 8.
Blackburn inachungulia mlango wa kushuka daraja!
--------------------------------------------------------------------------------------------------
Liverpool aka Bwawa la maini ipo nafasi ya 8 na point 43, bwawa litaendelea kukauka ama leo mvua itanyesha?
Blackburn ina point 28 kwenye nafasi ya 18 ama ndani ya timu tatu zitakazo shuka daraja, watakubali kufungwa?
No comments:
Post a Comment