20:30 Tottenham 1-1 Bolton
NB: Saa za Afrika Mashariki
Hakuna mbabe kati ya Everton na Sunderland.
Mechi ya Tottenham ilihahirishwa dk 41 kipindi cha kwanza baada ya mchezaji wa Bolton, Fabrice Muamba kuugua wakati wa mechi.
Muamba alianguka (kuzimia) ghafla akiwa mwenyewe, na juhudi zilifanyika kiwanjani kuokoa maisha yake kwa zaidi ya dk 10, kabla ya kupelekwa hospital kwa matibabu zaidi ambapo amelazwa ICU.
Kwa mechi za ligi kuu ya Uingereza 17 March angalia habari inayofuata a.k.a hapo juu!
No comments:
Post a Comment