Wednesday, 22 February 2012

MECHI ZA 22 FEB 2012 - UEFA CHAMPIONS LEAGUE

22:45 FC Basel 1-0 Bayern Munich
22:45 Marseille 1-0 Inter Milan

NB:Saa za Afrika Mashariki
    
Bila kusahau mechi ya maridiano kombe la  Europa League leo :-
20:00 Man City 4-0 Porto ( saa za Afrika Mashariki)

Man City wafanya karamu ya magoli dhidi ya Porto. Katika mechi ya kwanza Man City waliichapa Porto 2-1. Kwa matokeo hayo Man City wameingia kwenye hatua ya timu 16 zitakazochuana katika kombe hilo la Europa ligi.

Marseille wamepata bao la ushindi kwenye dakika za majeruhi za kipindi cha pili, kupitia mpira wa kona uliosindikizwa goloni kwa kichwa na mchezaji machachari Ayew.

No comments:

Post a Comment