16:30 Wolves 1-5 West Bromwhich
19:00 Aston Villa 0-1 Manchester City
NB: Saa za Afrika Mashariki
Man City wamerudi kileleni kuongoza ligi baada ya ushindi wa leo kwa kufikisha point 60, na kuwarudisha Man Utd kwenye nafasi ya pili kwa tofauti ya point 2.
W'Brom wamefanya karamu ya mvua ya magoli kama Tottenham jana, na kuwaonyesha Wolves mlango wa kushuka daraja ulivyo!
No comments:
Post a Comment