23:00 Wigan 0-1 Man City
NB: Saa za Afrika Mashariki
-Mechi ya leo ni kituko,imekutanisha timu inayoongoza na inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi!
-Man City imepata point tatu muhimu na kuendeleza harakati za kuongoza ligi kwa kufikisha point 51 na kuwaacha Man Utd yenye point 48.
No comments:
Post a Comment