22:45 Man City 0-1 Liverpool
NB: Saa za Afrika Mashariki
-Hongera kwa Liverpool, imelipa kisasi na kuwatwanga Man City nyumbani!
-Liverpool a.k.a Bwawa la maini a.k.a Mashetwani wekundu, walidundwa 3-0 na ManCity kwenye mechi ya Premier League, 3 Jan, na kushinda 5-0 dhidi ya Oldham kombe la FA, 6 Jan.
-Man City baada ya kuwapiga Liverpool 3-0, walipigwa na Man Utd 3-2, tarehe 8 Jan.
Man City hali si shwari, hata kwenye Premier League kuna dalili za kusuasua, ukichukulia kasi ya Tottenham wameshinda mechi ya leo dhidi ya Everton, kazi ipo.
No comments:
Post a Comment