Wanasema ukimchunguza kuku..............!
Kwahiyo sio vizuri kusema nini kimejiri michuano ya CECAFA, bali tuelewe fainali itakuwa Jumamosi kati ya Uganda v Rwanda ( aka Museveni v Kagame)
Mmmmmm
Lakini wahenga wanasema 'asiye kubali kushindwa...................! Ni kwamba tumeleweshwa chupa 3 za nguvu
Tanzania Bara (Kilimanjaro Stars) 1-3 Uganda (The Cranes)
Rwanda 2-1 Sudan
No comments:
Post a Comment