Wizara ya maliasili na utalii imeshutumiwa na wabunge kwamba wizara hiyo ina matatizo ya:-
-Ukabila
-Vibali vya kukamata na kusafirisha wanyama pori nje ya nchi
-Wanyama pori waliotoroshwa nje ya nchi kupitia uwanja wa KIA
Luhanjo analaumiwa kuendeleza ukabila idara ya wanyama pori. Nahisi haya ni machache, kwani kuna mengi yatakayoibuka bungeni.
pitia- http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/14621-wabunge-wamlipua-luhanjo-wa-ikulu.html
No comments:
Post a Comment