Adai wamemundama tangu atoe album ya pili ya Binti mwaka 2003.
Asema kama akifa kabla ya watu hao, wasiudhurie msiba wake, na wakiudhuria wapigwe mawe.
Pia marufuku nyimbo zake kupigwa kwenye radio ya Clouds wala kuongelea kifo chake kama kitatokea kabla ya watu hao.
Kusoma zaidi twanga link-
http://ladyjaydee.blogspot.co.uk/2013/05/wosia-wangu-kama-ikitokea-nimetangulia.html
http://ladyjaydee.blogspot.co.uk/2013/05/wosia-wangu-kama-ikitokea-nimetangulia.html
No comments:
Post a Comment