19:00 Rubin Kazan 3 -2 Chelsea
22:05 FC Basel 2- 2 Tottenham
22:05 Lazio 1 - 1 Fenerbahce
22:05 Newcastle 1 - 1 Benfica
NB: Saa za Afrika Mashariki
Chelsea, FC Basel, Fenerbahce na Benfica zasonga mbele.
Baada ya kukosekana mshindi ndani ya dk120 kwenye mechi ya FC Basel v Tottenham , penalty zilifuata na FC Basel kushinda penalty 4 dhidi ya 1 ya Tottenham.
-------------------------------------------------------------------------------------------------------
Mechi za kwanza, Chelsea ilishinda 3-1, FC Basel na Tottenham ilitoka sare ya 2-2, Fenerbahce ilishinda 2-0 dhidi ya Lazio, na Benfica ilishinda 2-1 dhidi ya Newcastle.
Timu gani kusonga mbele?
No comments:
Post a Comment