Tuesday, 12 March 2013

MECHI ZA 12 MARCH 2013 - UEFA KOMBE LA MABINGWA

22:45 Barcelona 4 - 0 AC Milan
22:45 Schalke 04 2 - 3 Galatasaray

NB: Saa za Afrika Mashariki

Barcelona na Galatasaray zaingia robo fainali

Messi alifanyiza kwa kutungua mabao mawili  ya dk 5 na 40 za kipindi cha kwanza. David Villa  akaongeza bao la tatu ndani ya dk 10 za kipindi cha pili, msumari wa mwisho ulipigwa na Alba dk za majeruhi kabla ya mchezo kwisha.

-----------------------------------------------------------------------------------------------------
Timu gani kuaga UEFA Champ League leo?

Mechi ya kwanza Baca ilinyukwa 2 kwa yai, kazi kwao kubadili kibao, la sivyo ndio kwaheri! Schalke na Galatasaray zilitoka 1-1.

No comments:

Post a Comment