Thursday, 21 June 2012

MECHI ZA 21 JUNE 2012 - UEFA EURO 2012

21:45 Czech 0-1 portugal

NB Saa za Afrika Mashariki

Portugal imeingia nusu fainali!

Baada ya Czech kumbana Ronaldo vizuri muda mwingi, hatimaye alifanikiwa kutumia mwanya aliopata kwenye dakika ya 79 na kupachika bao la kichwa kufuatia cross iliyotoka upande wa kona ya kulia mwa goli.

Portugal itacheza nusu fainali na mshindi kati ya Spain na France.

-------------------------------------------------------------------------------------------------------
Ni mechi ya kwanza inayo kutanisha timu nane zilizo fanikiwa kuingia robo finali, ambapo mshindi wa mechi hii atafanikiwa kuingia nusu fainali

Kesho Ijumaa 22 June: Germany v Greece 

No comments:

Post a Comment