Tembo kwa jina Citta, ametabiri mshindi wa mechi ya ufunguzi kati ya Poland v Greece.
Baada ya kuwekewa matunda matatu, Citta alikula la upande wa Poland ( kwamba Poland itashinda), na pia akachukua la kati (linaloashiria matokea ya sare). Sasa tujue lipi ni lipi?
Mchungulie ....
Mechi za kesho, kwa saa za Afrika Mashariki:
19:00 Poland v Greece
21:45 Russia v Czech
No comments:
Post a Comment