Thursday 20 June 2013

Mh MBOWE NA Mh LEMA WAJISALIMISHA KITUO CHA POLISI, WADAI TUME HURU YA UCHUNGUZI

Mh Freeman Mbowe na Mh Godbless Lema walijisalimisha kwenye kituo kikuu cha polisi Arusha, baada ya kutakiwa kufanya hivo, ili kujibu tuhuma za kufanya mkusanyiko wa waombolezaji kwenye viwanja vya Soweto isivyo halali.

Hata hivyo Mh Mbowe alisema hawako tayari kukabidhi ushahidi 'kwa jeshi la polisi kwasababu jeshi la polisi ni watuhumiwa'. Hivyo ameitaka serikali kuunda tume huru ya uchunguzi ambayo inaweza kuundwa na rais.

kujua zaidi twanga link....
http://www.youtube.com/watch?v=h4nXsK5RovA&feature=player_embedded

No comments:

Post a Comment