Wednesday, 6 February 2013

MECHI ZA LEO, 06 FEB 2013 - KOMBE LA MATAIFA YA AFRIKA (CAF 2013), Nusu fainali

18:00 Mali  1 - 4  Nigeria
21:30 Burkina Faso 4 - 3 Ghana

NB: Saa za Afrika ya Mashariki

Burkina Faso na Nigeria kukwaana  fainali jumapili, 10 Feb.

Dakika 120 zilimalizika ikiwa 1-1, Burkina Faso ikaibuka mshindi kwa penalty 3 dhidi 2 za Ghana, huku Ghana wakikosa penalty 2 na B'Faso walikosa 1.

Ghana sio weupe tu bali awakustahili kucheza fainali kutokana na kiwango duni cha mchezo kulinganisha na Burkina Faso.  Pamoja na kosakosa nyingi za Burkina Faso, kuna dalili za refa kuwabeba Ghana.

Mechi ya mshindi wa tatu, Jumamosi- 09 Feb: Mali v Ghana

Uingereza imeshinda 2-1 dhidi ya Brazil kweny emechi ya kirafiki.

No comments:

Post a Comment