22:45 Swansea 0 - 0 Chelsea
NB: Saa za Afrika Mashariki
Chelsea a.k.a machampion wa UEFA waipata joto ya jiwe, Swansea yaingia fainali!
Fainali ni Swansea v Bradford, kikombe kubebwa na Bradford.?
--------------------------------------------------------------------------------------------------
Ni nusu fainali mechi ya marudiano, mechi ya awali Chelsea ilicharazwa 2-0. Mechi hii ya ungenini itakuwaje?
Mechi ya Finali, 24 February : labda ni Swansea v Bradford, ahhhhhhh!
No comments:
Post a Comment