Monday 28 January 2013

FAIDA ZA MATUMIZI YA BIOGAS

Kwanini serikali isongeze juhudi za kufahamisha na kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya biogas?

Baadhi ya faida za matumizi ya biogas ni kupunguza uaribifu wa mazingira, kupunguza karaha na magonjwa yanayo sababishwa na matumizi ya kuni, makaa n.k,

Faida nyingine ni gharama ndogo na pia kuboresha maisha haswa ya wanawake na watoto kwani wataweza kutumia  muda mchache zaidi ya ule unaotumika kutafuta njia mbadala.

Kama wananchi wata fahamishwa na kuwezeshwa kutumia biogas majumbani n.k, uenda karaha za mgao wa umeme wa TANESCO zitakuwa historia.

Kujua zaidi twanga link:
http://www.simgas.com/

Pia twanga link:
http://www.thecitizen.co.tz/business/-/28382-biogas-did-you-know-scraps-could-power-your-entire-life

No comments:

Post a Comment