Saturday, 4 May 2013

Mh LEMA ALIVYO UNGURUMA KATIKA ENEO LA NGARENARO, SIKU YA ALHAMIS 02 MAY 2013,

Mbunge wa Arusha Mjini, Mh Godbless Lema aliunguruma katika viwanja vya Shule ya Msingi Ngarenaro siku ya Alhamisi, 02 May 2013.

Mkutano huo ulifanyika siku chache baada ya Mh Lema kuachiwa huru kwa dhamana siku ya Jumatatu, 29 April 2012. Mh Lema anakabiliwa na kesi ya uchochezi kwa wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), kesi hiyo itasikilizwa tena Jumatano ya 29 May 2013

DSC06339
Kamanda, Mh Lema akimwaga sera kwa wananchi wa jimbo lake
 
 DSC06333
Ole Millya aliudhuria na  alipata nafasi ya kuongea na wananchi walioudhuria 
 
Katika mkutano huo, wanachama wa CHADEMA watakao gombania nafasi nne za udiwani zilizowazi, walitambilishwa kwa wananchi.

No comments:

Post a Comment