22:45 Manchester City 1 - 0 West Bromwich
22:45 Wigan 2 - 3 Swansea
NB: Saa Za Afrika Mashariki
Manchester City imeweka nafasi ya pili mfukoni, Wigan hali si shwari.
Timu nne zilizo mkiani (point mabanoni): 17.Newcastle (38), 18.Wigan (35), 19.Reading (28), 20.QPR (25)
--------------------------------------------------------------------------------------------------------
Wigan inatafuta point 3 kujiongezea matumaini ya kubakia kwenye ligi hii msimu ujao, la sivyo itaungana na QPR na Reading kushuka daraja.
Kesho: Chelsea v Tottenham
No comments:
Post a Comment