Saturday, 13 April 2013

MECHI ZA 13 APRIL 2013 -LIGI KUU YA UINGEREZA

17:00 Arsenal  3 - 1  Norwich City
17:00 Aston Villa  1 - 1  Fulham
17:00 Everton  2 - 0  Queens Park Rangers
17:00 Reading  0 - 0  Liverpool
17:00 Southampton 1 - 1 West Ham Utd

NB: Saa za Afrika Mashariki

Arsenal kazi kama kawaida, Everton aijakata tamaa, Liverpool mhhh!

Msimamo wa top 10 (point mabanoni): 1.Man Utd (77), 2.Man City (65), 3.Arsenal (59), 4.Chelsea (58), 5.Tottenham (58), 6.Everton (55), 7.Liverpool (50), 8.West Brom (44), 9.Swansea (41), 10.Fulham (40)     


---------------------------------------------------------------------------------------------------
Tottenham imecheza mechi 32 na inazo point 58, Arsenal inazo point 56 baada yamechi 31 hivyo ushindi katika mechi utaipeleka mpaka nafasi ya 3 ikisubiri Chelsea kukamilisha mechi ya 32.

Liverpool vipi leo? 

Kesho: Newcastle Utd v Sunderland, Stoke City v Manchester Utd   

No comments:

Post a Comment