Ni kwenye mechi za mataifa ya Afrika kuwania kufuzu kucheza kombe la dunia 2014, ambapo Taifa Stars imepata mteremko kwa kuibamiza Morocco...
Matokeo ya mechi za leo :
Tanzania 3 - 0 Morocco
Lesotho 1 - 1 Zambia
Mozambique 0 - 0 Guinea
Rwanda 1 - 0 Mali
DR Congo 0 - 0 Libya
Ethiopia 1 - 0 Botswana
Ghana 4 - 0 Sudan
Liberia 2 - 0 Uganda
Eq Guinea 4 - 3 Cape Verde
No comments:
Post a Comment