Tuesday, 5 March 2013

MECHI ZA 05 MARCH 2013 - UEFA KOMBE LA MABINGWA

22:45 Borussia Dortmund 3 - 0 Shakhtar Donetsk
22:45 Manchester Utd 1 - 2 Real Madrid

NB: Saa za Afrika Mashariki

Real Madrid na Burussia zasonga mbele.

Kifo cha wengi...., Man Utd imeaga mashindano msimu huu!! Arsenal, Celtic kufuata nyayo? 

Ingawa Man U wamehisi kuonewa baada ya Nani kupewa red card, ukweli ni kwamba magoli yote yamefungwa na Real Madrid.

Man Utd ilipata bao la kwanza dk ya 3 ya kipindi cha pili baada ya Real Madrid kujifunga kupitia Ramos. Dakika ya 66 Modric akaipatia Real bao la kwanza na baada ya dk 3 Ronaldo akaongeza bao la ushindi na kuwatoa mkuku Man Utd kwenye Uefa msimu huu.

Kesho: Juventus v Celtic, Paris St Germain v Valencia

No comments:

Post a Comment