Kwa upande mwingine US imetoa ujumbe mkali unao wahusu viongozi wa nchi za Afrika na nyinginezo unasisitiza kuhakikisha mashoga awanyanyaswi. Balozi ama wawakilishi wa nchi hiyo wameagizwa kufuatilia utekelezaji huo mara moja bila kuchelewa!
US inapigia mstari maneno yaliyotolewa na waziri mkuu wa Uingereza hivi karibuni.
Pata ujumbe huu makini... http://www.youtube.com/watch?v=MudnsExyV78&feature=player_embedded
Swali la kizushi: Viongozi wa Afrika ni sikio la kufa..........................................................!
No comments:
Post a Comment