Mama yake alifika Australia kama mkimbizi akitokea Bosnia-Herzegovina, lakini sasa amekuwa kivutio kikubwa Paris , New York nk.
Anashikilia nafasi ya 18 kwa wanamitindo wa kiume mwaka 2011 ( http://models.com/model_culture/50topmalemodels/top50.cfm?fnumber=20&lnumber=16 ) , na
nafasi ya 98 mwaka 2011 kwa wanawake wenye mvuto duniani ( http://www.fhm.com/girls/100-sexiest-women )
No comments:
Post a Comment