Anaitwa Elgiva Bwire Oliacha (28), wala akubisha bali amekiri; kufanya mauaji , kuwa yeye ni member wa Al Shabaab, na kumuliki silaha kunyume na sheria!!
Baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha alichekelea, alipoulizwa kwanini anacheka alisema anafuraha na ajutii kitendo alichofanya! angalia hapa- http://www.youtube.com/watch?v=_YL8tlTvS58&feature=player_embedded
Hii hali ni ya kusikitisha, tunako elekea sio pazuri! for more twanga hapa- http://www.nation.co.ke/News/The+new+face+of+Al+Shabaab++/-/1056/1263654/-/smse6nz/-/index.html
No comments:
Post a Comment